Swali: Mwanamke anaposafiri hali ya kuwa pamoja naye yuko na mwanamke mmoja tu. Katika hali hii, Mahram anakuwa si wajibu kwake?
Jibu: Hapana. Uwajibu bado uko pale pale. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Si Halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho, kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Na makusudio ya Mahram, ni yule ambaye imeharamishwa kwake kumuoa. Na makusudio hapa anaingia mume vile vile.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.info/fatwa.php?fatwa_id=639
- Imechapishwa: 28/02/2018
Swali: Mwanamke anaposafiri hali ya kuwa pamoja naye yuko na mwanamke mmoja tu. Katika hali hii, Mahram anakuwa si wajibu kwake?
Jibu: Hapana. Uwajibu bado uko pale pale. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasema:
“Si Halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho, kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Na makusudio ya Mahram, ni yule ambaye imeharamishwa kwake kumuoa. Na makusudio hapa anaingia mume vile vile.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.info/fatwa.php?fatwa_id=639
Imechapishwa: 28/02/2018
https://firqatunnajia.com/wanamke-anaweza-kusafiri-na-mwanamke-mwenzake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)