Swali: Ni ipi hukumu ya wanafunzi wa kike kwenda katika vyuo vikuu ambavyo viko mbali na mji kwa takriban 75 km pamoja na kuzingatia kwamba idadi ya wanafunzi hao wa kike wanaweza kufika mpaka arobaini ndani ya basi na dereva anayewaendesha anapewa mshahara kutoka chuoni?
Jibu: Hakuna neno kwa hili ikiwa wanarudi siku hiyohiyo. Kwa mfano wanafunzi wa kike au waalimu wa kike wanaenda katika nchi nyingine 75 km au 100 km na wanarudi siku hiyohiyo na hakuna mwanaume na mwanamke kukaa faragha, kitendo hichi hakina neno. Kwa sababu hakiitwi kuwa ni ´safari` kwa mujibu wa desturi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (75) http://binothaimeen.net/content/1749
- Imechapishwa: 25/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya wanafunzi wa kike kwenda katika vyuo vikuu ambavyo viko mbali na mji kwa takriban 75 km pamoja na kuzingatia kwamba idadi ya wanafunzi hao wa kike wanaweza kufika mpaka arobaini ndani ya basi na dereva anayewaendesha anapewa mshahara kutoka chuoni?
Jibu: Hakuna neno kwa hili ikiwa wanarudi siku hiyohiyo. Kwa mfano wanafunzi wa kike au waalimu wa kike wanaenda katika nchi nyingine 75 km au 100 km na wanarudi siku hiyohiyo na hakuna mwanaume na mwanamke kukaa faragha, kitendo hichi hakina neno. Kwa sababu hakiitwi kuwa ni ´safari` kwa mujibu wa desturi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (75) http://binothaimeen.net/content/1749
Imechapishwa: 25/09/2020
https://firqatunnajia.com/wanafunzi-wa-kike-kwenda-kusoma-katika-mji-mwingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)