Swali: Baadhi ya wanafunzi wanawachukua picha kwa simu watu waliokaa pembezoni mwao pasi na kuwataka wao idhini na baadhi hawataki wachukuliwe picha. Je, inajuzu?
Jibu: Hata kama wataridhia haijuzu kuchukua picha. Haijuzu kupiga picha viumbe vyenye roho. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani watengeneza picha. Haijuzu hata kama watakubali hilo. Picha imeruhusiwa tu wakati wa dharurah. Haina neno. Ikiwa sio dharurah na lengo ni kumbukumbu na jambo jengine haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 04/07/2018
Swali: Baadhi ya wanafunzi wanawachukua picha kwa simu watu waliokaa pembezoni mwao pasi na kuwataka wao idhini na baadhi hawataki wachukuliwe picha. Je, inajuzu?
Jibu: Hata kama wataridhia haijuzu kuchukua picha. Haijuzu kupiga picha viumbe vyenye roho. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani watengeneza picha. Haijuzu hata kama watakubali hilo. Picha imeruhusiwa tu wakati wa dharurah. Haina neno. Ikiwa sio dharurah na lengo ni kumbukumbu na jambo jengine haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 04/07/2018
https://firqatunnajia.com/wanafunzi-kuwachukua-picha-wenzao-darasani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)