Swali: Muulizaji huyu ni kutoka Marekani anasema: Marekani kuna mtu ambaye siku zote husema kwamba wanachuoni wa Saudi Arabia hawajui hali za waislamu huko Marekani. Basi kwa ajili hiyo hatukubali fataawaa zao na anakariri jambo hilo. Ni zipi nasaha zako juu ya hilo?
Jibu: Wanachuoni wanajua elimu aliyoteremsha Allaah na wanatoa fatwa kwa mujibu wa halali na haramu. Mambo ya halali na mambo ya haramu ni mamoja Marekani na kwenginepo. Ulimwenguni kote ni mamoja. Kitu cha haramu ni haramu kila mahali. Kitu cha halali ni halali kila mahali. Mwanachuoni anawatolea fatwa watu wa ulimwenguni kote kwa mujibu wa elimu yake yenye manufaa. Huku ni kukoseswa nusura. Mwenye kusema maneno haya ni kukoseswa nusura. Lengo lake anataka kuwatenganisha na wanachuoni wenu. Msikubali kutoka kwake maneno haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=SV_kh8eHskw
- Imechapishwa: 03/01/2020
Swali: Muulizaji huyu ni kutoka Marekani anasema: Marekani kuna mtu ambaye siku zote husema kwamba wanachuoni wa Saudi Arabia hawajui hali za waislamu huko Marekani. Basi kwa ajili hiyo hatukubali fataawaa zao na anakariri jambo hilo. Ni zipi nasaha zako juu ya hilo?
Jibu: Wanachuoni wanajua elimu aliyoteremsha Allaah na wanatoa fatwa kwa mujibu wa halali na haramu. Mambo ya halali na mambo ya haramu ni mamoja Marekani na kwenginepo. Ulimwenguni kote ni mamoja. Kitu cha haramu ni haramu kila mahali. Kitu cha halali ni halali kila mahali. Mwanachuoni anawatolea fatwa watu wa ulimwenguni kote kwa mujibu wa elimu yake yenye manufaa. Huku ni kukoseswa nusura. Mwenye kusema maneno haya ni kukoseswa nusura. Lengo lake anataka kuwatenganisha na wanachuoni wenu. Msikubali kutoka kwake maneno haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=SV_kh8eHskw
Imechapishwa: 03/01/2020
https://firqatunnajia.com/wanachuoni-wetu-wanatoa-fatwa-zinazohusu-waislamu-dunia-nzima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)