Swali: Baadhi ya wanachuoni wametoa fatwa ya kujuzu kula kwa wacheza mpira wakati wa kucheza mpira. Je, hukumu hii ni sahihi?
Jibu: Hukumu hii ni batili. Msingi wa mchezo wenyewe ikiwa unamshughulisha mtu na kufanya ´ibaadah ni haramu. Baadhi ya watu unawashughulisha na swawm, hili halijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-07.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Swali: Baadhi ya wanachuoni wametoa fatwa ya kujuzu kula kwa wacheza mpira wakati wa kucheza mpira. Je, hukumu hii ni sahihi?
Jibu: Hukumu hii ni batili. Msingi wa mchezo wenyewe ikiwa unamshughulisha mtu na kufanya ´ibaadah ni haramu. Baadhi ya watu unawashughulisha na swawm, hili halijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (16) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-07.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
https://firqatunnajia.com/wanachuoni-waliowajuzishia-wacheza-mpira-kula-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)