Swali: Kuna mwanaume alichumbia mwanamke na alikuwa hajazini nae na baadae kukatokea Zinaa katika kipindi hichi (cha uchumba). Je, asimamishiwe adhabu ya bikira au adhahabu ya ambaye kishaingia katika ndoa?
Jibu: Lililo la dhahiri kwangu naona kuwa atasimamishiwa adhabu ya bikira. Kwa kuwa alikuwa hajamuoa. Katika hali hii, wote wawili watasimamishiwa adhabu ya bikira ikiwa ndo mara ya kwanza wanaingia katika ndoa.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php
- Imechapishwa: 17/02/2018
Swali: Kuna mwanaume alichumbia mwanamke na alikuwa hajazini nae na baadae kukatokea Zinaa katika kipindi hichi (cha uchumba). Je, asimamishiwe adhabu ya bikira au adhahabu ya ambaye kishaingia katika ndoa?
Jibu: Lililo la dhahiri kwangu naona kuwa atasimamishiwa adhabu ya bikira. Kwa kuwa alikuwa hajamuoa. Katika hali hii, wote wawili watasimamishiwa adhabu ya bikira ikiwa ndo mara ya kwanza wanaingia katika ndoa.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php
Imechapishwa: 17/02/2018
https://firqatunnajia.com/wamezini-katika-hali-ya-uchumba-wanapigwa-mawe-au-wanauawa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)