Swali: Kuna mwanafunzi mmoja aniuliza hukumu ya kaburi la ndugu yao lilioko nyumbani mwao ambaye alizawali ameshakufa ambapo mama yao akamchimbia shimo refu kwenye kona moja ya nyumba na akamfukia. Sikuyajua hayo isipokuwa masiku machache yaliyopita na hivi sasa kumeshapita miaka nane. Ni ipi hukumu ya kumswalia nyumbani? Je, kaburi hili lkifukuliwe pamoja na kuzingatia kwamba huenda hata lisiwe na athari tena?
Jibu: Mosi ni wajibu kumswalia swalah ya jeneza.
Pili wanatakiwa kumfukua na kumzika makaburini. Nyumba sio mazikoni.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (54) http://binothaimeen.net/content/1227
- Imechapishwa: 11/09/2019
Swali: Kuna mwanafunzi mmoja aniuliza hukumu ya kaburi la ndugu yao lilioko nyumbani mwao ambaye alizawali ameshakufa ambapo mama yao akamchimbia shimo refu kwenye kona moja ya nyumba na akamfukia. Sikuyajua hayo isipokuwa masiku machache yaliyopita na hivi sasa kumeshapita miaka nane. Ni ipi hukumu ya kumswalia nyumbani? Je, kaburi hili lkifukuliwe pamoja na kuzingatia kwamba huenda hata lisiwe na athari tena?
Jibu: Mosi ni wajibu kumswalia swalah ya jeneza.
Pili wanatakiwa kumfukua na kumzika makaburini. Nyumba sio mazikoni.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (54) http://binothaimeen.net/content/1227
Imechapishwa: 11/09/2019
https://firqatunnajia.com/wamemzika-mtoto-mchanga-aliyezaliwa-maiti-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)