Swali: Ni ipi hukumu ikiwa watu wamepata khabari kwamba ni ´iyd baada ya jua kipinduka?
Jibu: Ikiwa wamepata khabari kwamba ni siku ya ´iyd baada ya jua kupondoka, basi wanatakiwa kufungua siku hiyo na waswali swalah ya ´iyd siku ya kufuata.
Kuhusu ´Iyd-ul-Adhwhaa, watatakiwa kuswali siku ya kufuata na wasichinje kabla ya swalah ya ´iyd. Kichinjwa kimeambatana na swalah. Maoni yaliyotangaa ya madhehebu yanasema watu wanatakiwa kuchinja ikiwa umemalizika muda wa swalah baada ya kupinduka kwa jua, lakini maoni ya kwanza ndio salama zaidi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/229-230)
- Imechapishwa: 08/05/2021
Swali: Ni ipi hukumu ikiwa watu wamepata khabari kwamba ni ´iyd baada ya jua kipinduka?
Jibu: Ikiwa wamepata khabari kwamba ni siku ya ´iyd baada ya jua kupondoka, basi wanatakiwa kufungua siku hiyo na waswali swalah ya ´iyd siku ya kufuata.
Kuhusu ´Iyd-ul-Adhwhaa, watatakiwa kuswali siku ya kufuata na wasichinje kabla ya swalah ya ´iyd. Kichinjwa kimeambatana na swalah. Maoni yaliyotangaa ya madhehebu yanasema watu wanatakiwa kuchinja ikiwa umemalizika muda wa swalah baada ya kupinduka kwa jua, lakini maoni ya kwanza ndio salama zaidi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/229-230)
Imechapishwa: 08/05/2021
https://firqatunnajia.com/wamejua-kuwa-ni-siku-ya-iyd-baada-ya-kupondoka-kwa-jua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)