Swali: Anayesema kuwa mawalii wa Allaah wana karama kama walizonazo Mitume mpaka kuwafufua wafu…
Jibu: Mitume wana miujiza isiyoweza yeyote isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Allaah ameifanya miujiza kuwa ni maalum kwa Mitume.
Kuhusu mawalii hawana miujiza. Wao hufanya tu mambo yasiyokuwa ya kawaida pasi na miujiza.
Swali: Je, haya ni maneno ya Ahl-us-Sunnah au ni maneno ya Ahl-ul-Bid´ah?
Jibu: Wala Ahl-ul-Bid´ah hawana maneno haya. Haya ni maneno ya makafiri. Hakuna yeyote anaweza kuwahuisha wafu isipokuwa Allaah pekee na yule ambaye Allaah amemuwezesha kufanya hivo. Mmoja wao ni al-Masiyh (´alayhis-Salaam). Hii ni miujiza ya al-Masiyh. Miujiza ya Mitume haiwi kwa wengine. Hakuna yeyote anaweza kuwahuisha wafu isipokuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) na yule ambaye Allaah humjaalia akafanya miujiza kama al-Masiyh (´alayhis-Swalaatu was-Salaam). Inamuhusu yeye tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (02) http://alfawzan.af.org.sa/node/2045
- Imechapishwa: 12/10/2016
Swali: Anayesema kuwa mawalii wa Allaah wana karama kama walizonazo Mitume mpaka kuwafufua wafu…
Jibu: Mitume wana miujiza isiyoweza yeyote isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Allaah ameifanya miujiza kuwa ni maalum kwa Mitume.
Kuhusu mawalii hawana miujiza. Wao hufanya tu mambo yasiyokuwa ya kawaida pasi na miujiza.
Swali: Je, haya ni maneno ya Ahl-us-Sunnah au ni maneno ya Ahl-ul-Bid´ah?
Jibu: Wala Ahl-ul-Bid´ah hawana maneno haya. Haya ni maneno ya makafiri. Hakuna yeyote anaweza kuwahuisha wafu isipokuwa Allaah pekee na yule ambaye Allaah amemuwezesha kufanya hivo. Mmoja wao ni al-Masiyh (´alayhis-Salaam). Hii ni miujiza ya al-Masiyh. Miujiza ya Mitume haiwi kwa wengine. Hakuna yeyote anaweza kuwahuisha wafu isipokuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) na yule ambaye Allaah humjaalia akafanya miujiza kama al-Masiyh (´alayhis-Swalaatu was-Salaam). Inamuhusu yeye tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (02) http://alfawzan.af.org.sa/node/2045
Imechapishwa: 12/10/2016
https://firqatunnajia.com/wala-haya-sio-maneno-ya-ahl-ul-bidah-ni-maneno-ya-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)