1Lakini mfalme Sulemani alipenda wanamuke wengi wa kigeni, isipokuwa binti ya Farao wanamuke Wamoabu, Waamoni, Waedomu, Wasidoni, na Wahiti. 2Walitoka katika mataifa yenye Yehova alikuwa ameambia Waisraeli juu yao: “Hamupaswe kuingia kati yao, na hawapaswi kuingia kati yenu; kwa maana kwa hakika watageuza moyo wenu ufuate miungu yao.” Lakini Sulemani alishikamana nao na aliwapenda. 3Na alikuwa na bibi mia saba (700) wenye walikuwa wanamuke wa kifalme na masuria mia tatu (300)

  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Wafalme 11:1-3