Swali: Ni wapi wanapoingia katika Ihraam wakazi wa Makkah?
Jibu: Makkah. Anahirimia Makkah. Mkazi wa Makkah anapotaka kuingia katika Ihraam anahirimia Makkah. Lakini ikiwa anataka kufanya ´Umrah, ni lazima atoke Haram ili aweze kungia katika Ihraam. Sehemu iliyo karibu zaidi ni Tan´iym.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Ni wapi wanapoingia katika Ihraam wakazi wa Makkah?
Jibu: Makkah. Anahirimia Makkah. Mkazi wa Makkah anapotaka kuingia katika Ihraam anahirimia Makkah. Lakini ikiwa anataka kufanya ´Umrah, ni lazima atoke Haram ili aweze kungia katika Ihraam. Sehemu iliyo karibu zaidi ni Tan´iym.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/wakazi-wa-makkah-wanaingilia-wapi-kwenye-ihraam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)