Swali: Kuna ambao wanaanza kutoa Zakaat-ul-Fitwr siku saba au tano kabla ya kuswaliswa ´iyd?
Jibu: Hapana, hapana. Haizingatiwi isipokuwa siku moja au siku mbili kabla ya ´iyd. Wakati ulio bora wa kuitoa ni kuanzia usiku wa kuamkia ´iyd mpaka pale imamu anapoenda kuswali swalah ya ´iyd.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15621
- Imechapishwa: 20/06/2017
Swali: Kuna ambao wanaanza kutoa Zakaat-ul-Fitwr siku saba au tano kabla ya kuswaliswa ´iyd?
Jibu: Hapana, hapana. Haizingatiwi isipokuwa siku moja au siku mbili kabla ya ´iyd. Wakati ulio bora wa kuitoa ni kuanzia usiku wa kuamkia ´iyd mpaka pale imamu anapoenda kuswali swalah ya ´iyd.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15621
Imechapishwa: 20/06/2017
https://firqatunnajia.com/wakati-bora-wa-kutoa-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)