810 – Nilimsikia baba yangu akisema:
“Ibn Umar alitoa Zakaat-ul-Fitwr siku moja au mbili kabla.”
811 – Mara nyingi sana nilimwona baba yangu akitoa Zakaat-ul-Fitwr siku moja kabla.
812 – Mus´ab ametuhadithia: Maalik amenihadithia, kutoka kwa Nafiy’ ambaye amenihadithia:
“Ibn Umar alikuwa akiwaagizia Zakaat-ul-Fitwr watu wanaoisambaza siku moja, mbili au tatu kabla ya ´Iyd-ul-Fitwr.”
813 – Baba yangu amenihadithia: Hushaym amenihadithia: Hajjaaj ametukhabarisha, kutoka kwa ‘Atwaa’ ambaye ameeleza kwamba:
“Ibn ´Abbaas alitoa Zakaat-ul-Fitwr kabla ya kwenda kuswali siku ya ´Iyd.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaail-ul-Imaam Ahmad (2/589)
- Imechapishwa: 01/05/2022
810 – Nilimsikia baba yangu akisema:
“Ibn Umar alitoa Zakaat-ul-Fitwr siku moja au mbili kabla.”
811 – Mara nyingi sana nilimwona baba yangu akitoa Zakaat-ul-Fitwr siku moja kabla.
812 – Mus´ab ametuhadithia: Maalik amenihadithia, kutoka kwa Nafiy’ ambaye amenihadithia:
“Ibn Umar alikuwa akiwaagizia Zakaat-ul-Fitwr watu wanaoisambaza siku moja, mbili au tatu kabla ya ´Iyd-ul-Fitwr.”
813 – Baba yangu amenihadithia: Hushaym amenihadithia: Hajjaaj ametukhabarisha, kutoka kwa ‘Atwaa’ ambaye ameeleza kwamba:
“Ibn ´Abbaas alitoa Zakaat-ul-Fitwr kabla ya kwenda kuswali siku ya ´Iyd.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaail-ul-Imaam Ahmad (2/589)
Imechapishwa: 01/05/2022
https://firqatunnajia.com/wakati-ambapo-ibn-umar-na-ibn-abbaas-walitoa-zakaat-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)