Swali: Unajua yale magonjwa yaliyowapata waislamu kusini mwa nchi. Ni zipi nasaha zako juu ya hilo? Ni lipi jukumu la walinganizi katika mfano wa hali kama hii?
Jibu: Ni lazima kwa waislamu kumnyenyekea Allaah, waelekee Kwake, wanasihike na wachukue mazingatio, wasubiri, watarajie malipo kutoka kwa Allaah na watubie kwa Allaah (´Azza wa Jall) kutokamana na kila dhambi na maasi. Amesema (Ta´ala):
وَمَا أَصَابَكُم مِّن مُّصِيبَةٍ فَبِمَا كَسَبَتْ أَيْدِيكُمْ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ
“Haukupateni katika msiba wowote basi ni kwa sababu ya yale yaliyochuma mikono yenu na anasamehe mengi.”[1]
Mtu anatakiwa kuzingatia na achukue masomo na mazingatio. Aidha atubie kwa Allaah (´Azza wa Jall) na afanye matendo mema kwa wingi.
[1] 42:30
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 22/01/2022
Swali: Unajua yale magonjwa yaliyowapata waislamu kusini mwa nchi. Ni zipi nasaha zako juu ya hilo? Ni lipi jukumu la walinganizi katika mfano wa hali kama hii?
Jibu: Ni lazima kwa waislamu kumnyenyekea Allaah, waelekee Kwake, wanasihike na wachukue mazingatio, wasubiri, watarajie malipo kutoka kwa Allaah na watubie kwa Allaah (´Azza wa Jall) kutokamana na kila dhambi na maasi. Amesema (Ta´ala):
وَمَا أَصَابَكُم مِّن مُّصِيبَةٍ فَبِمَا كَسَبَتْ أَيْدِيكُمْ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ
“Haukupateni katika msiba wowote basi ni kwa sababu ya yale yaliyochuma mikono yenu na anasamehe mengi.”[1]
Mtu anatakiwa kuzingatia na achukue masomo na mazingatio. Aidha atubie kwa Allaah (´Azza wa Jall) na afanye matendo mema kwa wingi.
[1] 42:30
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 22/01/2022
https://firqatunnajia.com/wajibu-wetu-wakati-wa-kutokea-janga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)