Swali: Ni upi wajibu wa muislamu katika mnasaba wa fitina na vita vya ndani katika baadhi ya miji?
Jibu: Ni wajibu kwa muislamu kumuomba Allaah usalama na ajiepushe na fitina na kujiweka nayo mbali kadri na atakavyoweza. Awaombee waislamu faraja, nusura na msaada dhidi ya maadui zao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2020
Swali: Ni upi wajibu wa muislamu katika mnasaba wa fitina na vita vya ndani katika baadhi ya miji?
Jibu: Ni wajibu kwa muislamu kumuomba Allaah usalama na ajiepushe na fitina na kujiweka nayo mbali kadri na atakavyoweza. Awaombee waislamu faraja, nusura na msaada dhidi ya maadui zao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (14) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330720.mp3
Imechapishwa: 09/06/2020
https://firqatunnajia.com/wajibu-wa-muislamu-wakati-wa-fitina-na-vita-vya-kindani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)