Swali: Ni wajibu kwa ma-Khatwiyb wote siku ya Ijumaa kuwaamrisha wale wanaoingia na kukaa kuswali Rakaa mbili [za Tahiyyat-ul-Masjid]?
Jibu: Nido, bila ya shaka. Awazindue watu na kuwafunza ya kwamba haijuzu kukaa. Anayeingia na Imamu anatoa Khutbah haijuzu kwake kukaa mpaka aswali Rakaa mbili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo--1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014