Swali: Ninamuamsha mke wangu katika swalah ya Fajr lakini anachelewa kuamka. Mara nyingi haswali swalah ya Fajr isipokuwa katika wakati wa mwisho. Je, wajibu wangu ili kujitoa katika dhimma yangu ni kule kumuamsha tu au ni wajibu kwangu kusimama juu yake mpaka aamke?
Jibu: Ndio. Ni lazima. Haitoshelezi kuamrisha tu. Mlazimishe juu ya swalah. Haitoshelezi kumwambia tu “Swali” ukaenda zako na kumwacha. Ni lazima uhakikishe hukutoka mbele yake isipokuwa ameamka na ameingia katika swalah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–20041434.mp3
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Ninamuamsha mke wangu katika swalah ya Fajr lakini anachelewa kuamka. Mara nyingi haswali swalah ya Fajr isipokuwa katika wakati wa mwisho. Je, wajibu wangu ili kujitoa katika dhimma yangu ni kule kumuamsha tu au ni wajibu kwangu kusimama juu yake mpaka aamke?
Jibu: Ndio. Ni lazima. Haitoshelezi kuamrisha tu. Mlazimishe juu ya swalah. Haitoshelezi kumwambia tu “Swali” ukaenda zako na kumwacha. Ni lazima uhakikishe hukutoka mbele yake isipokuwa ameamka na ameingia katika swalah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–20041434.mp3
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/wajibu-wa-kumuamsha-mke-katika-swalah-ya-fajr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)