Swali: Baadhi ya Suufiyyah wanajinasibisha kwa Imaam ash-Shaafi´iy (Rahimahu Allaah) ambapo baadhi ya watu wakadhania kuwa Imaam ash-Shaafi´iy ana baadhi ya Taswawwuf. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Hata siku moja. Imaam ash-Shaafi´iy alipiga vita Taswawwuf. Kitendo cha Suufiy, Mu´tazliy na Ash´ariy kujinasibisha kwake ni kitu kipo. Wengi katika wale wanaofuata madhehebu mane mara nyingi wanakuwa ni katika Ashaa´irah, Mu´tazilah na kadhalika. Kitendo cha kuja wenye kujinasibisha naye baada yake ilihali anafuata madhehebu yanayoenda kinyume na Imaam huyo hakimuabishi. Kuna Hanafiyyah na Shaafi´iyyah wengi wanaoenda kinyume na madhehebu ya maimamu wao Abu Haniyfah na ash-Shaafi´iy. Hali kadhalika Maalikiyyah wana mengi ambayo yanaenda kinyume na aliyokuwemo Imaam Maalik. Hiki ni kitu kipo. Katika mambo ya mataga ni Shaafi´iyyah. Lakini inapokuja katika ´Aqiydah sio Shaafi´iyyah. Vivyo hivyo Hanafiyyah inapokuja katika mambo ya mataga ni Hanafiyyah. Lakini katika ´Aqiydah hawako katika madhehebu ya Abu Haniyfah. Katika Hanaabilah pia kunapatikana watu walio hivyo. Katika mambo ya mataga ni Hanaabilah. Lakini sivyo hivyo inapokuja katika ´Aqiydah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (16) http://alfawzan.af.org.sa/node/2059
- Imechapishwa: 02/05/2017
Swali: Baadhi ya Suufiyyah wanajinasibisha kwa Imaam ash-Shaafi´iy (Rahimahu Allaah) ambapo baadhi ya watu wakadhania kuwa Imaam ash-Shaafi´iy ana baadhi ya Taswawwuf. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Hata siku moja. Imaam ash-Shaafi´iy alipiga vita Taswawwuf. Kitendo cha Suufiy, Mu´tazliy na Ash´ariy kujinasibisha kwake ni kitu kipo. Wengi katika wale wanaofuata madhehebu mane mara nyingi wanakuwa ni katika Ashaa´irah, Mu´tazilah na kadhalika. Kitendo cha kuja wenye kujinasibisha naye baada yake ilihali anafuata madhehebu yanayoenda kinyume na Imaam huyo hakimuabishi. Kuna Hanafiyyah na Shaafi´iyyah wengi wanaoenda kinyume na madhehebu ya maimamu wao Abu Haniyfah na ash-Shaafi´iy. Hali kadhalika Maalikiyyah wana mengi ambayo yanaenda kinyume na aliyokuwemo Imaam Maalik. Hiki ni kitu kipo. Katika mambo ya mataga ni Shaafi´iyyah. Lakini inapokuja katika ´Aqiydah sio Shaafi´iyyah. Vivyo hivyo Hanafiyyah inapokuja katika mambo ya mataga ni Hanafiyyah. Lakini katika ´Aqiydah hawako katika madhehebu ya Abu Haniyfah. Katika Hanaabilah pia kunapatikana watu walio hivyo. Katika mambo ya mataga ni Hanaabilah. Lakini sivyo hivyo inapokuja katika ´Aqiydah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (16) http://alfawzan.af.org.sa/node/2059
Imechapishwa: 02/05/2017
https://firqatunnajia.com/wahalifu-kujinasibisha-na-maimamu-wanne-hayawaibishi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)