Wafiwa kuwatengenezea chakula wanaokuja kutoa pole

Swali: Ni jambo limeenea sana leo wafiwa ndio wanawatengenezea chakula wanaokuja kutoa pole. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?

Jibu: Hili linaenda kinyume na Sunnah. Haijuzu kufanya hivi. Kuwakalifisha wafiwa pamoja na msiba waliyomo, mnawakalifisha kuwatengenezea chakula tena? Hili linaenda kinyume na Sunnah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-11-6.mp3
  • Imechapishwa: 11/11/2014