Swali: Baadhi ya wale wenye kufanya matabano wanachukua msaada kutoka kwa majini waislamu dhidi ya majini makafiri…
Jibu: Hapana! Haijuzu kuchukua msaada kutoka kwa majini, wasioonekana wala maiti. Haijuzu kutaka msaada isipokuwa kutoka kwa mtu aliye hai, mbele yako na ambaye ni muweza wa kukusaidia. Ni lazima yapatikane masharti haya:
1- Anatakiwa awe hai na asiwe maiti.
2- Awe mbele yako na asiwe mbali na wewe.
3- Awe ni muweza na asiwe si muweza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Baadhi ya wale wenye kufanya matabano wanachukua msaada kutoka kwa majini waislamu dhidi ya majini makafiri…
Jibu: Hapana! Haijuzu kuchukua msaada kutoka kwa majini, wasioonekana wala maiti. Haijuzu kutaka msaada isipokuwa kutoka kwa mtu aliye hai, mbele yako na ambaye ni muweza wa kukusaidia. Ni lazima yapatikane masharti haya:
1- Anatakiwa awe hai na asiwe maiti.
2- Awe mbele yako na asiwe mbali na wewe.
3- Awe ni muweza na asiwe si muweza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/wafanya-ruqyah-wanachukua-msaada-kutoka-kwa-majini-waumini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)