Swali: Nina mfanya kazi mwanamke ambaye anataka kuhiji. Je, inajuzu kwake kuhiji na usuhubiano mzuri nikisimamia hajj yake?
Jibu: Hili ni tatizo. Suala hili ni muhimu; wanakusanya wafanya kazi wa kike nyumbani na kuhiji nao. Asli ni kuwa haijuzu kwa mwanamke kusafiri bila ya Mahram:
“Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Vipi iwe msimamo wetu juu ya Hadiyth hii? Vipi tuivuke na tusiitendee kazi? Ili kwenda na desturi za watu? Hapana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_27-07-1433.mp3
- Imechapishwa: 22/05/2018
Swali: Nina mfanya kazi mwanamke ambaye anataka kuhiji. Je, inajuzu kwake kuhiji na usuhubiano mzuri nikisimamia hajj yake?
Jibu: Hili ni tatizo. Suala hili ni muhimu; wanakusanya wafanya kazi wa kike nyumbani na kuhiji nao. Asli ni kuwa haijuzu kwa mwanamke kusafiri bila ya Mahram:
“Si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Vipi iwe msimamo wetu juu ya Hadiyth hii? Vipi tuivuke na tusiitendee kazi? Ili kwenda na desturi za watu? Hapana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (15) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_27-07-1433.mp3
Imechapishwa: 22/05/2018
https://firqatunnajia.com/wafanya-kazi-pia-anahitajia-mahram-kwenda-hajj/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)