Swali: Je, inajuzu kwa mwanaume kutoka na mchumba wake kwa kujificha pasina familia yake kujua?

Jibu: Ikiwa ameshamuoa ndio. Ama ikiwa ni kabla ya kumuoa, mwanamke huyo sio Mahram wake na si halali kwake kufanya hivo.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aal ash-Shaykh
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://ramadhan.af.org.sa/ar/node/6984
  • Imechapishwa: 19/09/2020