Swali: Kuna mlinganizi anayesema kuwa waabudu makaburi ni ndugu zetu? Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Ikiwa anashirikiana nao katika kuabudu makaburi ni kweli ni ndugu zake. Na ikiwa anamwabudu Allaah, Mmoja asiyekuwa na washirika, hana lolote la kufanya pamoja na wao. Katika hali hiyo sio ndugu zake. Ni ndugu wa Mashaytwaan na si ndugu zake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2015
Swali: Kuna mlinganizi anayesema kuwa waabudu makaburi ni ndugu zetu? Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Ikiwa anashirikiana nao katika kuabudu makaburi ni kweli ni ndugu zake. Na ikiwa anamwabudu Allaah, Mmoja asiyekuwa na washirika, hana lolote la kufanya pamoja na wao. Katika hali hiyo sio ndugu zake. Ni ndugu wa Mashaytwaan na si ndugu zake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
Imechapishwa: 27/06/2015
https://firqatunnajia.com/waabudu-makaburi-ni-ndugu-wa-mashaytwaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)