Swali: Baadhi ya migahawa na vinywaji vinaandikwa “haina-nguruwe”, au “haina-pombe”. Je, mtu atosheke na maandiko kama haya na kuvitumiaau kuna neno?
Jibu: Hakuna neno, maandiko haya yanatosha ikiwa ni katika mji wa mayahudi na manaswara, yanatosha maandiko haya. Asli ni kuwa, chakula (vichinjo) vyao ni Halali hata kama hakikuandikwa kitu. Na ikiwa kimeandikwa, inakuwa ni aula zaidi. Isipokuwa tu ikijulikana ya kuwa haya (waliyoyaandika) ni uongo na katika kitu hichi kuna nguruwe au kuna kitu kingine cha najisi, maandiko haya yatakuwa hayana maana yoyote. Ikijulikana kwa dalili kutoka kwa waaminifu ya kwamba, huu ni uongo. Ama maadamu hakujajulikana kitu, asli ni kwamba inaruhusu na ni salama.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 31/03/2018
Swali: Baadhi ya migahawa na vinywaji vinaandikwa “haina-nguruwe”, au “haina-pombe”. Je, mtu atosheke na maandiko kama haya na kuvitumiaau kuna neno?
Jibu: Hakuna neno, maandiko haya yanatosha ikiwa ni katika mji wa mayahudi na manaswara, yanatosha maandiko haya. Asli ni kuwa, chakula (vichinjo) vyao ni Halali hata kama hakikuandikwa kitu. Na ikiwa kimeandikwa, inakuwa ni aula zaidi. Isipokuwa tu ikijulikana ya kuwa haya (waliyoyaandika) ni uongo na katika kitu hichi kuna nguruwe au kuna kitu kingine cha najisi, maandiko haya yatakuwa hayana maana yoyote. Ikijulikana kwa dalili kutoka kwa waaminifu ya kwamba, huu ni uongo. Ama maadamu hakujajulikana kitu, asli ni kwamba inaruhusu na ni salama.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 31/03/2018
https://firqatunnajia.com/vyakula-vya-ahl-ul-kitaab-vinavyoandikwa-haina-pombe-haina-nguruwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)