Swali: Je, kuna tofauti kati ya vitenguzi vya Uislamu na vitenguzi vya imani?
Jibu: Hapana, hakuna tofauti. Vitenguzi vya Uislamu ndio vitenguzi vya imani. Lakini mtu anaweza kuwa muislamu kwa ulimi wake tu na wakati huohuo akawa mnafiki. Amesema (Ta´ala):
وَلَقَدْ قَالُوا كَلِمَةَ الْكُفْرِ وَكَفَرُوا بَعْدَ إِسْلَامِهِمْ
”… na hali wamekwishasema neno la kufuru na wakakufuru baada ya Uislamu wao.” (at-Tawbah 09:74)
Amesema kuhusu waumini:
لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
“Hivyo msitoe udhuru, kwani mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.” (at-Tawbah 09 : 65-66)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 30
- Imechapishwa: 15/11/2019
Swali: Je, kuna tofauti kati ya vitenguzi vya Uislamu na vitenguzi vya imani?
Jibu: Hapana, hakuna tofauti. Vitenguzi vya Uislamu ndio vitenguzi vya imani. Lakini mtu anaweza kuwa muislamu kwa ulimi wake tu na wakati huohuo akawa mnafiki. Amesema (Ta´ala):
وَلَقَدْ قَالُوا كَلِمَةَ الْكُفْرِ وَكَفَرُوا بَعْدَ إِسْلَامِهِمْ
”… na hali wamekwishasema neno la kufuru na wakakufuru baada ya Uislamu wao.” (at-Tawbah 09:74)
Amesema kuhusu waumini:
لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
“Hivyo msitoe udhuru, kwani mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.” (at-Tawbah 09 : 65-66)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 30
Imechapishwa: 15/11/2019
https://firqatunnajia.com/vitenguzi-vya-uislamu-ndio-vitenguzi-vya-imani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)