Swali: Ni vitabu vipi unavyotupendekezea kusoma katika Ramadhaan?
Jibu: Soma Aayah za Qur-aan na Hadiyth zenye kuzungumzia juu ya swawm na fadhila za swawm. Ikiwa uko na upeo wa elimu wa kuweza kuwafasiria nazo watu, fanya hivo. Vinginevyo inatosheleza kwako kuwasomea watu. Wasomee watu Aayah za Qur-aan na Hadiyth huku wasikilize.
Kuna vitabu vilivyoandikwa kwa ajili ya Ramadhaan. Kwa mfano “Latwaa´if-ul-Ma´aariyf” cha Ibn Qaasim kifupi. Ni kitabu kifupi na kizuri. Kina faida kubwa. Asiyekuwa na elimu akisome na awasomee watu kwa sababu ni kitabu aminifu na chenye faida. Kadhalika kitabu “al-Lu´lu´ wal-Marjaan fiy Wadhwaa´if Shahr Ramadhwaan” cha Shaykh wetu Ibraahiym bin ´Ubayd Aal ´Abdil-Muhsin. Ni kitabu chenye manufaa na kina faida nyingi. Asome ndani yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni vitabu vipi unavyotupendekezea kusoma katika Ramadhaan?
Jibu: Soma Aayah za Qur-aan na Hadiyth zenye kuzungumzia juu ya swawm na fadhila za swawm. Ikiwa uko na upeo wa elimu wa kuweza kuwafasiria nazo watu, fanya hivo. Vinginevyo inatosheleza kwako kuwasomea watu. Wasomee watu Aayah za Qur-aan na Hadiyth huku wasikilize.
Kuna vitabu vilivyoandikwa kwa ajili ya Ramadhaan. Kwa mfano “Latwaa´if-ul-Ma´aariyf” cha Ibn Qaasim kifupi. Ni kitabu kifupi na kizuri. Kina faida kubwa. Asiyekuwa na elimu akisome na awasomee watu kwa sababu ni kitabu aminifu na chenye faida. Kadhalika kitabu “al-Lu´lu´ wal-Marjaan fiy Wadhwaa´if Shahr Ramadhwaan” cha Shaykh wetu Ibraahiym bin ´Ubayd Aal ´Abdil-Muhsin. Ni kitabu chenye manufaa na kina faida nyingi. Asome ndani yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/vitabu-vinavyotakiwa-kusomwa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)