Swali: Kuna mtu alilala kabla ya kula daku katika Ramadhaan na alikuwa na nia ya kuamka kula daku. Akashtukiza amelala mpaka asubuhi. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Swawm yake ni sahihi. Daku sio sharti ya kusihi kwa swawm. Daku imependekezwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuleni daku. Hakika katika kula daku kuna baraka.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
[1] al-Bukhaariy (1923) na Muslim (1095).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/321)
- Imechapishwa: 02/06/2018
Swali: Kuna mtu alilala kabla ya kula daku katika Ramadhaan na alikuwa na nia ya kuamka kula daku. Akashtukiza amelala mpaka asubuhi. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Swawm yake ni sahihi. Daku sio sharti ya kusihi kwa swawm. Daku imependekezwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuleni daku. Hakika katika kula daku kuna baraka.”[1]
Kuna maafikiano juu yake.
[1] al-Bukhaariy (1923) na Muslim (1095).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/321)
Imechapishwa: 02/06/2018
https://firqatunnajia.com/vipi-swawm-ya-ambaye-hakuweza-kuamka-kula-daku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)