Swali: Ni ipi hukumu mwenye hedhi akisafika katikati ya mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Ni lazima kwake kujizuia [kula, kunywa n.k.] kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Kwa sababu ameondokewa na udhuru wa Kishari´ah. Vilevile itakuwa ni wajibu kwake kuilipa siku hiyo. Kama ambavyo ikithibiti kuonekana mwezi mwandamo mchana wa Ramadhaan, basi katika hali hiyo waislamu wanatakiwa kujizuia siku iliyobaki na kuilipa siku hiyo kwa mujibu wa mtazamo wa wanachuoni wengi. Mfano wake ni msafiri akifika katika mji wake mchana wa Ramadhaan basi ni lazima kwake kujizuia kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Kwa sababu hukumu ya safari kwake imeshaondoka. Hata hivyo anatakiwa kuilipa siku hiyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/193)
- Imechapishwa: 19/05/2018
Swali: Ni ipi hukumu mwenye hedhi akisafika katikati ya mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Ni lazima kwake kujizuia [kula, kunywa n.k.] kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Kwa sababu ameondokewa na udhuru wa Kishari´ah. Vilevile itakuwa ni wajibu kwake kuilipa siku hiyo. Kama ambavyo ikithibiti kuonekana mwezi mwandamo mchana wa Ramadhaan, basi katika hali hiyo waislamu wanatakiwa kujizuia siku iliyobaki na kuilipa siku hiyo kwa mujibu wa mtazamo wa wanachuoni wengi. Mfano wake ni msafiri akifika katika mji wake mchana wa Ramadhaan basi ni lazima kwake kujizuia kutokana na maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Kwa sababu hukumu ya safari kwake imeshaondoka. Hata hivyo anatakiwa kuilipa siku hiyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/193)
Imechapishwa: 19/05/2018
https://firqatunnajia.com/vipi-mwanamke-mwenye-hedhi-akisafika-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)