Mambo ya ghaibu ambayo yanamtokea maiti katika kaburi lake na ni wajibu kuyaamini ni:
1 – Kuamini Munkar na Nakiyr
Akisema mwenye kusema: “Vipi wanamjia katika kaburi lake na sisi hatuwaoni?” Jibu tunasema kwamba Allaah ni Muweza juu ya kila jambo. Wewe kuna mambo mengi ambayo umefanywa huyaoni. Malaika hao wawili wanamjia na wewe huwaoni. Je, wewe unaona hewa inayoingia ndani ya mwili wako? Je, wewe unaona kila kitu? Kuna mambo mengi ambayo yapo na wewe huyaoni. Je, wewe unaiona akili yako? Si kila kitu usichokiona ni kwamba si sahihi. Haya ni maneno ya watu wanaoamini mazingira. Ama waumini wao wanaamini kila kilichothibiti katika khabari zake sahihi na wala hawayaingizi katika akili zao (na kuyapima kwanza).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Haaiyyah, uk. 164
- Imechapishwa: 26/08/2020
Mambo ya ghaibu ambayo yanamtokea maiti katika kaburi lake na ni wajibu kuyaamini ni:
1 – Kuamini Munkar na Nakiyr
Akisema mwenye kusema: “Vipi wanamjia katika kaburi lake na sisi hatuwaoni?” Jibu tunasema kwamba Allaah ni Muweza juu ya kila jambo. Wewe kuna mambo mengi ambayo umefanywa huyaoni. Malaika hao wawili wanamjia na wewe huwaoni. Je, wewe unaona hewa inayoingia ndani ya mwili wako? Je, wewe unaona kila kitu? Kuna mambo mengi ambayo yapo na wewe huyaoni. Je, wewe unaiona akili yako? Si kila kitu usichokiona ni kwamba si sahihi. Haya ni maneno ya watu wanaoamini mazingira. Ama waumini wao wanaamini kila kilichothibiti katika khabari zake sahihi na wala hawayaingizi katika akili zao (na kuyapima kwanza).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Haaiyyah, uk. 164
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/vipi-malaika-wanamjia-na-sisi-hatuwaoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)