Swali: Msafiri akipitwa na swalah au akaisahau ni vipi atailipa baada ya kurudi katika mji wake; ailipe kwa kufupisha au kwa kukamilisha?
Jibu: Hapana, ailipe kwa kukamilisha[1]. Safari imeisha kwa kurudi katika mji wake. Alipe kikamilifu swalah aliyoiacha kwa kusahau.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/afupishe-au-akamilishe-msafiri-aliyefika-katika-mji-wake-na-hajaswali/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14020
- Imechapishwa: 22/04/2018
Swali: Msafiri akipitwa na swalah au akaisahau ni vipi atailipa baada ya kurudi katika mji wake; ailipe kwa kufupisha au kwa kukamilisha?
Jibu: Hapana, ailipe kwa kukamilisha[1]. Safari imeisha kwa kurudi katika mji wake. Alipe kikamilifu swalah aliyoiacha kwa kusahau.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/afupishe-au-akamilishe-msafiri-aliyefika-katika-mji-wake-na-hajaswali/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14020
Imechapishwa: 22/04/2018
https://firqatunnajia.com/vipi-kukidhi-swalah-iliyompita-mtu-katika-hali-ya-usafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)