Swali: Katika mwezi wa Ramadhaan mtukufu nilikuwa mjamzito na siku ishirini za Ramadhaan nilikuwa msafi ambapo nikafunga na nikala siku nne nikiwa hospitalini. Baada ya Ramadhaan nikalipa zile siku nilizokula. Vipi kuhusu swawm yangu niliyolipa ilihali mtoto akiwa tumboni mwangu?
Jibu: Funga yako ukiwa mjamzito na wakati huo huo ukiwa msafi haiathiri swawm yako. Ni kama swawm ya mwanamke mwenye damu ya ugonjwa. Kwa hivyo swawm yako ni sahihi. Yale masiku mane uliyokula ukiwa hospitalini kisha ukayalipa baada ya Ramadhaan yanatosha na wala haikulazimu kuyafunga kwa mara nyingine.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/225)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Katika mwezi wa Ramadhaan mtukufu nilikuwa mjamzito na siku ishirini za Ramadhaan nilikuwa msafi ambapo nikafunga na nikala siku nne nikiwa hospitalini. Baada ya Ramadhaan nikalipa zile siku nilizokula. Vipi kuhusu swawm yangu niliyolipa ilihali mtoto akiwa tumboni mwangu?
Jibu: Funga yako ukiwa mjamzito na wakati huo huo ukiwa msafi haiathiri swawm yako. Ni kama swawm ya mwanamke mwenye damu ya ugonjwa. Kwa hivyo swawm yako ni sahihi. Yale masiku mane uliyokula ukiwa hospitalini kisha ukayalipa baada ya Ramadhaan yanatosha na wala haikulazimu kuyafunga kwa mara nyingine.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/225)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/vipi-kuhusu-swawm-ya-mwanamke-mjamzito/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)