Swali: Vipi mayahudi watakuwa ni wenye uadui mkubwa kwa waumini pamoja na hivo iwe ni jambo lenye kuwezekana kuoa kwao?
Jibu: Hili ni jambo limewekwa katika Shari´ah na Allaah (´Azza wa Jalla). Hii ni Shari´ah ya Allaah kwa kuwa wanaamini Manabii kwa jumla na vitabu. Wao sio kama waabudu masanamu ambao hawamwamini Nabii wala kitabu chochote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo--1432-04-15.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014