Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
30- Abu Tha’labah al-Khushaniy Jurthuum bin Naashir (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) amefaridhisha faradhi basi msiyapuuze. Vilevile akaweka mipaka msiivuke. Ameharamisha baadhi ya mambo kwa hivyo usifanye. Kuhusu yale aliyoyanyamazia ni kwa ajili ya huruma Yake kwenu – na si kwamba ameyasahau – kwa hivyo usiyadadisi.”
Shari´ah haikukataza kitu kilicho na manufaa kwa mwanaadamu katika maisha yake. Kila kilicho cha haramu mtu anaweza kujitosheleza nacho na hilo lisimuathiri kitu katika maisha yake. Aliyoharamisha Allaah (Jalla wa ´Alaa) au Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miongoni mwa vitu, mwanaadamu hana haja nayo ili kuweza kuyasimamisha maisha yake au kuyastarehesha maisha yake. Hakika mtu anaweza kujistarehesha na vingi vilivyohalalishwa na kupendekezwa ambavyo vinamtosheleza na ya haramu.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 423
- Imechapishwa: 13/05/2020
Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
30- Abu Tha’labah al-Khushaniy Jurthuum bin Naashir (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (Ta´ala) amefaridhisha faradhi basi msiyapuuze. Vilevile akaweka mipaka msiivuke. Ameharamisha baadhi ya mambo kwa hivyo usifanye. Kuhusu yale aliyoyanyamazia ni kwa ajili ya huruma Yake kwenu – na si kwamba ameyasahau – kwa hivyo usiyadadisi.”
Shari´ah haikukataza kitu kilicho na manufaa kwa mwanaadamu katika maisha yake. Kila kilicho cha haramu mtu anaweza kujitosheleza nacho na hilo lisimuathiri kitu katika maisha yake. Aliyoharamisha Allaah (Jalla wa ´Alaa) au Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miongoni mwa vitu, mwanaadamu hana haja nayo ili kuweza kuyasimamisha maisha yake au kuyastarehesha maisha yake. Hakika mtu anaweza kujistarehesha na vingi vilivyohalalishwa na kupendekezwa ambavyo vinamtosheleza na ya haramu.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 423
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/vilivyo-vya-halali-winamtosheleza-mwanadamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)