Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza mihadhara inayoathiri ya watoa mawaidha ambao ni Hizbiyyuun au watu ambao hawatambuliki pamoja na kuzingatia kwamba vijana wengi hawana elimu inayotosha kuweza kupambanua kati ya yaliyo ya sawa na ya makosa?
Jibu: Yaliyotoka kwa Salaf wa kale na waliokuja nyuma yanatosheleza. Ni lazima kushikamana nayo. Kwa sababu hatuna haja ya watu wazushi na ambao wanaeneza mawaidha na visa vinavyovutia. Katika elimu ya Salaf kuna ambayo yanatosheleza. Huo ndio wajibu wetu sisi na nyinyi.
Wanafunzi, waarabu na wasiokuwa waarabu, wanatakiwa kunasihiwa kushikamana na elimu ya Salaf, mawaidha ya Salaf na vitabu vya Salaf. Ndani yake kuna kheri kamilifu, kama mlivyopitia na mkasikia dalili.
Allaah amewasifu Salaf na wafuasi wao sifa lukuki na hakufanya hivo isipokuwa ni kwa sababu wako juu ya uongofu na haki ya wazi. Haya ndio niliyotaka kukwambieni.
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://sahab.net/forums/showthread.php?t=331010
- Imechapishwa: 27/11/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusikiliza mihadhara inayoathiri ya watoa mawaidha ambao ni Hizbiyyuun au watu ambao hawatambuliki pamoja na kuzingatia kwamba vijana wengi hawana elimu inayotosha kuweza kupambanua kati ya yaliyo ya sawa na ya makosa?
Jibu: Yaliyotoka kwa Salaf wa kale na waliokuja nyuma yanatosheleza. Ni lazima kushikamana nayo. Kwa sababu hatuna haja ya watu wazushi na ambao wanaeneza mawaidha na visa vinavyovutia. Katika elimu ya Salaf kuna ambayo yanatosheleza. Huo ndio wajibu wetu sisi na nyinyi.
Wanafunzi, waarabu na wasiokuwa waarabu, wanatakiwa kunasihiwa kushikamana na elimu ya Salaf, mawaidha ya Salaf na vitabu vya Salaf. Ndani yake kuna kheri kamilifu, kama mlivyopitia na mkasikia dalili.
Allaah amewasifu Salaf na wafuasi wao sifa lukuki na hakufanya hivo isipokuwa ni kwa sababu wako juu ya uongofu na haki ya wazi. Haya ndio niliyotaka kukwambieni.
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://sahab.net/forums/showthread.php?t=331010
Imechapishwa: 27/11/2020
https://firqatunnajia.com/vijana-wanasikiliza-mihadhara-ya-hizbiyyuun-inayoigonga-nyonyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)