Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vinavyositisha hedhi au kuzuia kushika mimba katika Ramadhaan?
Jibu: Hakuna neno kwa sharti si vyenye kumdhuru mwanamke. Hakuna neno kwa mwanamke kutumia vidonge vinavyozuia kushika mimba kwa muda au vinavozuia hedhi ili aweze kufunga au kutokana na sababu nyingine, kama alivyothibitisha Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah na wengineo. Hata hivyo itakuwa haijuzu ikiwa kule kuvitumia kunamdhuru mwanamke – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin Humayd
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Ibn Humayd, uk. 175
- Imechapishwa: 05/05/2021
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vinavyositisha hedhi au kuzuia kushika mimba katika Ramadhaan?
Jibu: Hakuna neno kwa sharti si vyenye kumdhuru mwanamke. Hakuna neno kwa mwanamke kutumia vidonge vinavyozuia kushika mimba kwa muda au vinavozuia hedhi ili aweze kufunga au kutokana na sababu nyingine, kama alivyothibitisha Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah na wengineo. Hata hivyo itakuwa haijuzu ikiwa kule kuvitumia kunamdhuru mwanamke – na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin Humayd
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Ibn Humayd, uk. 175
Imechapishwa: 05/05/2021
https://firqatunnajia.com/vidonge-vinavyozuia-kushika-mimba-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)