Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kutumia dawa za kuzuia ada yake ya mwezi ili aweze kufunga Ramadhaan yote?
Jibu: Hakuna neno. Akiwa hana mashaka nazo na hazimdhuru, hakuna neno. Lakini hata hivyo bora ni kuacha kuzitumia[1].
Swali: Je, anaweza kuzitumia kwa ajili ya kufanya ´umrah au hajj?
Jibu: Ni sawa endapo atazitumia kabla ya kuanza kutokwa na ada yake ya mwezi. Lakini kama tayari ameshatokwa na ada yake ya mwezi vidonge hivi havisaidii kitu.
[1] https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-anakataza-kutumia-dawa-za-kuzuia-hedhi-kutokana-na-madhara-yake/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 23/11/2019
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamke kutumia dawa za kuzuia ada yake ya mwezi ili aweze kufunga Ramadhaan yote?
Jibu: Hakuna neno. Akiwa hana mashaka nazo na hazimdhuru, hakuna neno. Lakini hata hivyo bora ni kuacha kuzitumia[1].
Swali: Je, anaweza kuzitumia kwa ajili ya kufanya ´umrah au hajj?
Jibu: Ni sawa endapo atazitumia kabla ya kuanza kutokwa na ada yake ya mwezi. Lakini kama tayari ameshatokwa na ada yake ya mwezi vidonge hivi havisaidii kitu.
[1] https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-anakataza-kutumia-dawa-za-kuzuia-hedhi-kutokana-na-madhara-yake/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 23/11/2019
https://firqatunnajia.com/vidonge-dhidi-ya-hedhi-kwa-ajili-ya-kufanya-ibaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)