Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika Aayah za Qur-aan ukutani?
Jibu: Ni jambo lisilotakikana. Pia isitoshe kitendo hicho kinapelekea katika kuzitweza pale ambapo ubao utaanguka ardhini, jengine ni kwamba kunaweza kuwa maasi mahala hapo palipo Qur-aan.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 21/11/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika Aayah za Qur-aan ukutani?
Jibu: Ni jambo lisilotakikana. Pia isitoshe kitendo hicho kinapelekea katika kuzitweza pale ambapo ubao utaanguka ardhini, jengine ni kwamba kunaweza kuwa maasi mahala hapo palipo Qur-aan.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 21/11/2020
https://firqatunnajia.com/vibao-vya-qur-aan-ukutani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)