Jengine ni kwamba vibao vilivyoandikwa “Allaah” na pembezoni mwake “Muhammad” ni aina fulani ya ushirikiano na kumlinganisha Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), jambo ambalo halifai. Kuna mtu alisema kumwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
ما شاء الله وشئت
“Akitaka Allaah na wewe.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Je, umenifanya kuwa mshirika wa Allaah? Sema: “Akitaka Allaah pekee.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (01) http://binothaimeen.net/content/6625
- Imechapishwa: 01/02/2019
Jengine ni kwamba vibao vilivyoandikwa “Allaah” na pembezoni mwake “Muhammad” ni aina fulani ya ushirikiano na kumlinganisha Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), jambo ambalo halifai. Kuna mtu alisema kumwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
ما شاء الله وشئت
“Akitaka Allaah na wewe.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Je, umenifanya kuwa mshirika wa Allaah? Sema: “Akitaka Allaah pekee.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (01) http://binothaimeen.net/content/6625
Imechapishwa: 01/02/2019
https://firqatunnajia.com/vibao-vilivyoandikwa-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87-na-%d9%85%d8%ad%d9%85%d8%af/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)