Swali: Je, kufunika uso wa maiti ndani ya kaburi lake ni jambo la lazima au imependekezwa?
Jibu: Unafunikwa uso wa maiti ndani ya kaburi na hauachwi wazi. Isipokuwa tu uso wa anayefanya Ihraam. Imepokelewa katika Hadiyth:
“Msimfunike kichwa wala uso wake. Kwani hakika Allaah atamfufua siku ya Qiyaamah hali ya kuwa ni mwenye kuleta Talbiyah.”
Amekataza kufunika kichwa cha Muhrim. Ama asiyekuwa Muhrim anatakiwa kufunikwa mwili wake mzima kukiwemo uso na kichwa chake. Vitafunguliwa vile vifungo kutoka kwa maiti na atabaki mahali pake kama alivyo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 15/08/2021
Swali: Je, kufunika uso wa maiti ndani ya kaburi lake ni jambo la lazima au imependekezwa?
Jibu: Unafunikwa uso wa maiti ndani ya kaburi na hauachwi wazi. Isipokuwa tu uso wa anayefanya Ihraam. Imepokelewa katika Hadiyth:
“Msimfunike kichwa wala uso wake. Kwani hakika Allaah atamfufua siku ya Qiyaamah hali ya kuwa ni mwenye kuleta Talbiyah.”
Amekataza kufunika kichwa cha Muhrim. Ama asiyekuwa Muhrim anatakiwa kufunikwa mwili wake mzima kukiwemo uso na kichwa chake. Vitafunguliwa vile vifungo kutoka kwa maiti na atabaki mahali pake kama alivyo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 15/08/2021
https://firqatunnajia.com/uso-wa-maiti-ndani-ya-kaburi-lake-unapasa-kufunikwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)