Suala hili kuhusu kuhukumu kinyume na aliyoteremsha Allaah ni katika mambo makubwa. Viongozi wengi wa leo wamepewa mtihani kwa jambo hilo. Hivyo basi, mtu asiwe na haraka ya kuwahukumu kwa kitu wasichostahiki mpaka pale watakapobainishiwa haki. Suala hili ni khatari. Tunamuomba Allaah (Ta´ala) azintengeneze hali za waislamu, watawala wao na nchi zao.
Vilevile ni wajibu kwa wale watu ambao Allaah amewapa elimu kuwabainishia watawala hawa haki ili wasiwe na udhuru wowote. Yule atayekufa, basi awe amekufa juu ya dalili, na yule atakayeishi, basi awe ameishi juu ya dalili. Mtu asijidogeshe na kumuogopa yeyote. Kwani hakika ya utukufu ni wa Allaah, Mtume Wake na waumini.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 159
- Imechapishwa: 04/06/2020
Suala hili kuhusu kuhukumu kinyume na aliyoteremsha Allaah ni katika mambo makubwa. Viongozi wengi wa leo wamepewa mtihani kwa jambo hilo. Hivyo basi, mtu asiwe na haraka ya kuwahukumu kwa kitu wasichostahiki mpaka pale watakapobainishiwa haki. Suala hili ni khatari. Tunamuomba Allaah (Ta´ala) azintengeneze hali za waislamu, watawala wao na nchi zao.
Vilevile ni wajibu kwa wale watu ambao Allaah amewapa elimu kuwabainishia watawala hawa haki ili wasiwe na udhuru wowote. Yule atayekufa, basi awe amekufa juu ya dalili, na yule atakayeishi, basi awe ameishi juu ya dalili. Mtu asijidogeshe na kumuogopa yeyote. Kwani hakika ya utukufu ni wa Allaah, Mtume Wake na waumini.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 159
Imechapishwa: 04/06/2020
https://firqatunnajia.com/usiwe-na-papara-kuwakufurisha-viongozi-watenda-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)