Swali: Je, inafaa kwa mwanamke wa Kiislamu kuvaa mavazi ya kubana mbele ya dada zake na Mahaarim zake katika wanawake?
Jibu: Haifai kwake kufanya hivyo. Kwa sababu atakuwa ni mfano mbaya kwao na kwa wengine. Ni lazima kwake kujiheshimisha na mavazi yenye kusitiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18359
- Imechapishwa: 10/07/2020
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke wa Kiislamu kuvaa mavazi ya kubana mbele ya dada zake na Mahaarim zake katika wanawake?
Jibu: Haifai kwake kufanya hivyo. Kwa sababu atakuwa ni mfano mbaya kwao na kwa wengine. Ni lazima kwake kujiheshimisha na mavazi yenye kusitiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18359
Imechapishwa: 10/07/2020
https://firqatunnajia.com/usiwe-kiigizo-kibaya-kwa-wenzio/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)