Swali: Familia ya maiti wakifungua mlango wao kwa ajili ya wenye kuja kutoa pole pasi na kutendeka maovu yoyote – je, ni kitendo kinachojuzu?
Jibu: Hichi ni kitendo ambacho hakikupokelewa kwamba watu wakae nyumbani. Haikupokelewa kwamba watu wakae nyumbani na wakaacha makazi yao. Wanaweza kutoa pole popote walipo. Kwa mfano wanaweza kuwa dukani, kazini, njiani au msikitini. Hakuna haja ya kuweka sehemu maalum kwa ajili ya wenye kuja kutoa pole na sehemu hiyo ikatangazwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 07/09/2019
Swali: Familia ya maiti wakifungua mlango wao kwa ajili ya wenye kuja kutoa pole pasi na kutendeka maovu yoyote – je, ni kitendo kinachojuzu?
Jibu: Hichi ni kitendo ambacho hakikupokelewa kwamba watu wakae nyumbani. Haikupokelewa kwamba watu wakae nyumbani na wakaacha makazi yao. Wanaweza kutoa pole popote walipo. Kwa mfano wanaweza kuwa dukani, kazini, njiani au msikitini. Hakuna haja ya kuweka sehemu maalum kwa ajili ya wenye kuja kutoa pole na sehemu hiyo ikatangazwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 07/09/2019
https://firqatunnajia.com/usiwaache-wazushi-kufanya-matanga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)