Usiondoshe vibao kwenye makaburi kama kunakhofiwa madhara

Swali: Katika nchi yetu wanaweka ubao ambao wanaandika juu yake majina ya yule aliyekufa. Ni kipi ambacho ni wajibu kwetu kufanya juu ya vibao hivi pamoja na kuzingatia kwamba tukiviondosha kunaweza kutokea matatizo kati ya watu?

Jibu: Usiviondoshe. Wafunze watu, walinganie kwa Allaah na wabainishieni.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
  • Imechapishwa: 12/04/2019