Swali: Baadhi ya ndoa yule ambaye anamfikisha mke wake pale kunapofanyika ndoa hiyo anasikia sauti ya muziki na nyimbo. Je, anapata dhambi akimwacha mke wake kwenda katika ndoa hiyo?
Jibu: Ikiwa wako na muziki au pumbao nyenginezo basi haifai kwenda kwao. Lakini ikiwa ni dufu linalopigwa na wanawake peke yao basi hakuna ubaya. Kuhusu muziki, ngoma au vyenginevyo vya haramu vinatakiwa kukemewa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6356/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B0%D9%87%D8%A7%D8%A8-%D9%84%D8%AD%D9%81%D9%84%D8%A7%D8%AA-%D8%B2%D9%88%D8%A7%D8%AC-%D8%A8%D9%87%D8%A7-%D8%A7%D8%BA%D8%A7%D9%86-%D9%88%D9%85%D9%88%D8%B3%D9%8A%D9%82%D9%89
- Imechapishwa: 19/12/2020
Swali: Baadhi ya ndoa yule ambaye anamfikisha mke wake pale kunapofanyika ndoa hiyo anasikia sauti ya muziki na nyimbo. Je, anapata dhambi akimwacha mke wake kwenda katika ndoa hiyo?
Jibu: Ikiwa wako na muziki au pumbao nyenginezo basi haifai kwenda kwao. Lakini ikiwa ni dufu linalopigwa na wanawake peke yao basi hakuna ubaya. Kuhusu muziki, ngoma au vyenginevyo vya haramu vinatakiwa kukemewa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6356/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B0%D9%87%D8%A7%D8%A8-%D9%84%D8%AD%D9%81%D9%84%D8%A7%D8%AA-%D8%B2%D9%88%D8%A7%D8%AC-%D8%A8%D9%87%D8%A7-%D8%A7%D8%BA%D8%A7%D9%86-%D9%88%D9%85%D9%88%D8%B3%D9%8A%D9%82%D9%89
Imechapishwa: 19/12/2020
https://firqatunnajia.com/usimwache-mkeo-kwenda-katika-ndoa-za-nyimbo-na-muziki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)