25“Ukimkopesha fedha mtu yeyote miongoni mwa watu wangu walio maskini, usiwe kwake kama mdai, wala usimtoze riba. 26Ukilichukua vazi la mwenzako kuliweka rehani, lazima umrudishie kabla ya jua kutua, 27kwa kuwa hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au wadhani atalalia nini? Akinililia nitamsikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kutoka 22:25
- Imechapishwa: 03/02/2020
25“Ukimkopesha fedha mtu yeyote miongoni mwa watu wangu walio maskini, usiwe kwake kama mdai, wala usimtoze riba. 26Ukilichukua vazi la mwenzako kuliweka rehani, lazima umrudishie kabla ya jua kutua, 27kwa kuwa hiyo ndiyo nguo yake ya pekee; ndiyo atakayojifunika nayo. Au wadhani atalalia nini? Akinililia nitamsikiliza, maana mimi ni mwenye huruma.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kutoka 22:25
Imechapishwa: 03/02/2020
https://firqatunnajia.com/usimtoze-ribaa-mwenzio/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)