Kuna imamu msikitini. Amejiwa na Hizbiy na anamuomba aweze kuongea msikitini kwake. Ana uwezo wa kumzuia pasi na kutokea madhara yoyote. Je, amwache aweze kuzungumza halafu baada ya hapo aweke taaliki maneno yake au kuanzia mwanzo amzuie moja kwa moja?
Moja kwa moja. Mambo yanatakiwa kuwa namna hii. Aizuie shari kuanzia mwanzo. Usijiaminishe kwa mtu Hizbiy au mtu wa Bid´ah. Hawastahiki kusikilizwa. Midhali wewe ndiye msimamizi wa msikiti mzuie. Anza kwanza kwa kujirekebisha mwenyewe. Cha kwanza anatakiwa kujirekebisha mwenyewe. Je, mmenisikia mimi nikisema kitu kingine? Je, mmenisikia mimi nikisema kwamba azungumze halafu baada ya hapo yafanyiwe taaliki? Hapana. Maneno yetu yako imara na tunamuomba Allaah atuthibitishe katika Qur-aan na Sunnah.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.com/Dars-14107
- Imechapishwa: 19/09/2020
Kuna imamu msikitini. Amejiwa na Hizbiy na anamuomba aweze kuongea msikitini kwake. Ana uwezo wa kumzuia pasi na kutokea madhara yoyote. Je, amwache aweze kuzungumza halafu baada ya hapo aweke taaliki maneno yake au kuanzia mwanzo amzuie moja kwa moja?
Moja kwa moja. Mambo yanatakiwa kuwa namna hii. Aizuie shari kuanzia mwanzo. Usijiaminishe kwa mtu Hizbiy au mtu wa Bid´ah. Hawastahiki kusikilizwa. Midhali wewe ndiye msimamizi wa msikiti mzuie. Anza kwanza kwa kujirekebisha mwenyewe. Cha kwanza anatakiwa kujirekebisha mwenyewe. Je, mmenisikia mimi nikisema kitu kingine? Je, mmenisikia mimi nikisema kwamba azungumze halafu baada ya hapo yafanyiwe taaliki? Hapana. Maneno yetu yako imara na tunamuomba Allaah atuthibitishe katika Qur-aan na Sunnah.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://olamayemen.com/Dars-14107
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/usiliache-jitu-hizbiy-lizungumze-msikitini-kwako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)