794- Humayd bin Mas´adah ametuhadithia: Yaziyd bin Zuray´ ametuhadithia: ´Uyaynah bin ´Abdir-Rahmaan ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia:
“Nilitaja usiku wa Qadr mbele ya Abu Bakrah ambapo akasema: “Mimi si mwenye kuutafuta wakati mwingine isipokuwa kutokana na vile nilivyosikia kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika zile nyusiku kumi za mwisho. Hakika mimi nimemsikia akisema: “Utafuteni usiku wa tarehe tisa ni wenye kubaki, tarehe saba ni wenye kubaki, tarehe tano ni wenye kubaki au katika tarehe tatu ni wenye kubaki”[1]
Abu Bakrah alikuwa katika zile nyusiku ishirini za Ramadhaan anaswali kama nyusiku nyenginezo zote za mwaka. Kunapoingia zile nyusiku kumi za mwisho basi anajipinda.
Hadiyth hii ni nzuri na Swahiyh.
[1] Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (794).
- Mhusika: Imaam Abu ´Iysaa Muhammad bin ´Iysaa at-Tirmidhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Jaami´ (793)
- Imechapishwa: 15/05/2020
794- Humayd bin Mas´adah ametuhadithia: Yaziyd bin Zuray´ ametuhadithia: ´Uyaynah bin ´Abdir-Rahmaan ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia:
“Nilitaja usiku wa Qadr mbele ya Abu Bakrah ambapo akasema: “Mimi si mwenye kuutafuta wakati mwingine isipokuwa kutokana na vile nilivyosikia kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika zile nyusiku kumi za mwisho. Hakika mimi nimemsikia akisema: “Utafuteni usiku wa tarehe tisa ni wenye kubaki, tarehe saba ni wenye kubaki, tarehe tano ni wenye kubaki au katika tarehe tatu ni wenye kubaki”[1]
Abu Bakrah alikuwa katika zile nyusiku ishirini za Ramadhaan anaswali kama nyusiku nyenginezo zote za mwaka. Kunapoingia zile nyusiku kumi za mwisho basi anajipinda.
Hadiyth hii ni nzuri na Swahiyh.
[1] Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (794).
Mhusika: Imaam Abu ´Iysaa Muhammad bin ´Iysaa at-Tirmidhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Jaami´ (793)
Imechapishwa: 15/05/2020
https://firqatunnajia.com/usiku-wa-qadr-kwa-mujibu-wa-abu-bakrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)