Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuhudhuria sherehe ya mazazi ya Mtume?
Jibu: Ni haramu kwake kushiriki katika sherehe za Bid´ah. Sherehe ya kusherehekea Maulidi ya Mtume ni ya Bid´ah. Hivyo haijuzu kuhudhuria, kuyasapoti, kuyakubali wala kushiriki ndani yake. Hili ni kwa sababu ni Bid´ah. Kila Bid´ah ni upotevu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: uruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
- Imechapishwa: 26/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuhudhuria sherehe ya mazazi ya Mtume?
Jibu: Ni haramu kwake kushiriki katika sherehe za Bid´ah. Sherehe ya kusherehekea Maulidi ya Mtume ni ya Bid´ah. Hivyo haijuzu kuhudhuria, kuyasapoti, kuyakubali wala kushiriki ndani yake. Hili ni kwa sababu ni Bid´ah. Kila Bid´ah ni upotevu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: uruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13398
Imechapishwa: 26/04/2018
https://firqatunnajia.com/usihudhurie-sherehe-ya-mazazi-ya-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)