Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa ushahidi wa uongo? Je, unabatilisha swawm?
Jibu: Kutoa ushahidi wa uongo ni dhambi kubwa. Nako ni kule mtu kutoa ushahidi kwa kitu asichokijua au kwa kitu anachojua kuwa kinaenda kinyume na uhalisia. Hakubatilishi swawm. Lakini hata hivyo kunapunguza ujira wake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/360-361)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa ushahidi wa uongo? Je, unabatilisha swawm?
Jibu: Kutoa ushahidi wa uongo ni dhambi kubwa. Nako ni kule mtu kutoa ushahidi kwa kitu asichokijua au kwa kitu anachojua kuwa kinaenda kinyume na uhalisia. Hakubatilishi swawm. Lakini hata hivyo kunapunguza ujira wake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/360-361)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/ushahidi-wa-uongo-unaharibu-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)