Swali: Je, kusengenya na kueneza uvumi kunamfunguza mfungaji mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Kusengenya na kueneza uvumi havifunguzi. Lakini hata hivyo vinapunguza swawm. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
“Enyi mlioamini! Mmefaradhishiwa kufunga kama ilivyofaradhishwa kwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allaah.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule asiyeacha kusema uongo, kuutendea kazi na ujinga basi Allah hana haja yeye kuacha chakula na kinywaji chake.”
[1] 02:183
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/359)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Je, kusengenya na kueneza uvumi kunamfunguza mfungaji mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Kusengenya na kueneza uvumi havifunguzi. Lakini hata hivyo vinapunguza swawm. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
“Enyi mlioamini! Mmefaradhishiwa kufunga kama ilivyofaradhishwa kwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allaah.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule asiyeacha kusema uongo, kuutendea kazi na ujinga basi Allah hana haja yeye kuacha chakula na kinywaji chake.”
[1] 02:183
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/359)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/usengenyi-na-uvumi-vinamfunguza-mfungaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)